Ujumbe wa Kwaresima 2018 kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania


Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu ndiyo kauli mbiu inayoongoza ujumbe wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kwa mwaka 2018. Ni ujumbe unaozingatia matukio makuu matatu: Jubilei ya Miaka 150 ya Ukristo Tanzania Bara, Miaka 50 ya Tamko la Maaskofu kuhusu Mwelekeo na Hatima ya Tanzania na Maandalizi ya Uchaguzi wa viongozi wa Serikali za mitaa utakaofanyika mwaka 2019. Wapendwa Familia ya Mungu, Na Watu Wote wenye Mapenzi Mema, “Neema na iwe kwenu, na amani zitokazo kwa Mungu, Baba yetu” (Kol 1:2).

Utangulizi

Kama ilivyo ada ya Wakristo pote ulimwenguni, kwa kipindi cha siku arobaini kabla ya kuadhimisha Jumapili ya Ufufuko wa Bwana Wetu Yesu Kristo, Wakristo hutumia muda huo kufunga, kufanya toba na kufanya matendo ya huruma kwa wote wenye mahitaji huku wakijitafakari kuhusu uhalisia wa hali yao ya kuwa ni wenye dhambi mbele ya Mungu, ili waweze kufanya toba ya kweli na yenye mageuzi na wongofu katika maisha. Mwaka huu kipindi hiki, kijulikanacho kama kipindi cha Kwaresima, kinaanzia tarehe 14 Februari Jumatano, siku ambayo inajulikana kwa jina la Jumatano ya Majivu, mpaka tarehe 29 Machi, ambayo itakuwa ni siku ya Alhamisi Kuu.

Toba na thamani ya uhai wa watoto wetu, vijana wetu na familia zetu?
Toba na haki za binadamu katika mila, desturi, siasa, sheria na uchumi?
Kama wadhambi tuna wajibu gani mbele ya Mungu na mbele ya binadamu wenzetu?

4.2 Jumuiya na Parokia yetu inaweza kufanya nini ili kurekebisha na kukuza:

Moyo na tabia ya usikivu kwa sauti ya Mungu anayetuuliza kuhusu hali ya bindamu kama ndugu zetu?
Moyo na tabia ya kujali utu, hadhi na haki za binadamu wenzetu, hasa wanyonge na wanaogandamizwa?
Kuchangia katika mabadiliko ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ili maendeleo ya kweli yapatikane kadiri ya tunu za Ufalme wa Mungu?

Kristo Mfufuka awape amani!

Ni sisi Maaskofu wenu,

1 Mhashamu Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, Iringa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania

2. Mhashamu Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya, Ofm Cap, Dodoma,

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania

3 Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Dar es Salaam

4. Mhashamu Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Lebulu, Arusha

5. Mhashamu Askofu Mkuu Paul Ruzoka, Tabora

6. Mhashamu Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwa’ichi, Ofm Cap,Mwanza

7. Mhashamu Askofu Mkuu Damian Dallu – Songea

8. Mhashamu Askofu Telesphor Mkude, Morogoro

9. Mhashamu Askofu Bruno Ngonyani, Lindi

10 Mhashamu Askofu Severine NiweMugizi, Rulenge-Ngara

11. Mhashamu Askofu Evaristo Chengula, IMC, Mbeya

12. Mhashamu Askofu Augustino Shao, CSSp, Zanzibar

13. Mhashamu Askofu Damian Kyaruzi, Sumbawanga

14. Mhashamu Askofu Agapiti Ndorobo, Mahenge

15. Mhashamu Askofu Anthony Banzi, Tanga

16. Mhashamu Askofu Desiderius Rwoma, Bukoba

17. Mhashamu Askofu Msaidizi Method Kilaini, Bukoba

18. Mhashamu Askofu Alfred Leonard Maluma, Njombe

19. Mhashamu Askofu Ludovick Minde, ALCP/OSS, Kahama

20. Mhashamu Askofu Castor Paul Msemwa, Tunduru-Masasi (Marehemu)

21. Mhashamu Askofu Michael Msonganzila, Musoma

22. Mhashamu Askofu Mkuu Issac Amani, Jimbo kuu la Arusha

23. Mhashamu Askofu Almachius Rweyongeza, Kayanga

24. Mhashamu Askofu Rogath Kimaryo, CSSp, Same

25. Mhashamu Askofu Msaidizi Eusebius Nzigilwa, Dar es Salaam

26. Mhashamu Askofu Salutaris Libena, Ifakara

27. Mhashamu Askofu Renatus Nkwande, Bunda

28. Mhashamu Askofu Gervas Nyaisonga, Mpanda

29. Mhashamu Askofu Bernadin Mfumbusa, Kondoa

30. Mhashamu Askofu John Ndimbo, Mbinga

31. Mhashamu Askofu Titus Mdoe, Mtwara

32. Mhashamu Askofu Joseph Mlola, ALCP/OSS Kigoma

33. Mashamu Askofu Msaidizi Prosper Lyimo, Arusha

34. Mhashamu Askofu Liberatus Sangu, Shinyanga

35. Mhashamu Askofu Edward Mapunda, Singida

36. Mhashamu Askofu Flavian Kassala, Geita

2 Replies to “Ujumbe wa Kwaresima 2018 kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

*